15Nchi ambayo watu wa kabila la Yuda waligawiwa*+ kwa ajili ya koo zao ilifika kwenye mpaka wa Edomu,+ nyika ya Zini, hadi upande wa kusini kabisa wa Negebu.
3 Na uliendelea upande wa kusini kwenye mwinuko wa Akrabimu,+ ukavuka hadi Zini, na kupanda kutoka kusini hadi Kadesh-barnea,+ kufika Hezroni, Adari, na kuzunguka hadi Karka.