Ezekieli 47:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi mpaka utaanzia baharini hadi Hasar-enoni,+ kwenye mpaka wa Damasko kuelekea kaskazini, pamoja na mpaka wa Hamathi.+ Huo ndio mpaka wa kaskazini.
17 Basi mpaka utaanzia baharini hadi Hasar-enoni,+ kwenye mpaka wa Damasko kuelekea kaskazini, pamoja na mpaka wa Hamathi.+ Huo ndio mpaka wa kaskazini.