-
Yoshua 20:4, 5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Ni lazima akimbilie mojawapo ya majiji hayo+ na kusimama langoni,+ kisha atawaambia wazee wa jiji hilo kesi yake. Nao lazima wampokee jijini na kumpa makao, naye ataishi pamoja nao. 5 Na yule anayetaka kulipiza kisasi cha damu akimfuatia, wazee hawapaswi kumtia muuaji huyo mikononi mwake, kwa maana alimuua mwenzake bila kukusudia,* wala hakuwa akimchukia.+
-