-
Hesabu 3:25, 26Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 Majukumu ya wana wa Gershoni+ katika hema la mkutano yalikuwa kutunza hema lenyewe pamoja+ na kifuniko chake,+ pazia+ la mlango wa hema la mkutano, 26 mapazia ya ua yanayoning’inia,+ pazia la mlango wa ua+ linalozunguka hema la ibada na madhabahu, kamba za hema, na utumishi wote uliohusiana na vitu hivyo.
-