Hesabu 26:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Baada ya pigo hilo,+ Yehova akamwambia hivi Musa na Eleazari mwana wa kuhani Haruni: 2 “Wahesabuni Waisraeli wote wenye umri wa kuanzia miaka 20 na zaidi, kulingana na koo zao,* wahesabuni wote wanaoweza kutumikia katika jeshi la Israeli.”+
26 Baada ya pigo hilo,+ Yehova akamwambia hivi Musa na Eleazari mwana wa kuhani Haruni: 2 “Wahesabuni Waisraeli wote wenye umri wa kuanzia miaka 20 na zaidi, kulingana na koo zao,* wahesabuni wote wanaoweza kutumikia katika jeshi la Israeli.”+