Hesabu 4:22, 23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Wana wa Gershoni+ wanapaswa kuhesabiwa kulingana na koo zao* na familia zao. 23 Utawaandikisha wanaume wote wenye umri wa miaka 30 hadi 50 walio katika kikundi kilichogawiwa kutumikia katika hema la mkutano.
22 “Wana wa Gershoni+ wanapaswa kuhesabiwa kulingana na koo zao* na familia zao. 23 Utawaandikisha wanaume wote wenye umri wa miaka 30 hadi 50 walio katika kikundi kilichogawiwa kutumikia katika hema la mkutano.