Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 30:4-6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi akampa Bilha kijakazi wake awe mke wake, Yakobo akalala naye.+ 5 Bilha akapata mimba na baada ya muda akamzalia Yakobo mwana. 6 Raheli akasema: “Mungu amekuwa mwamuzi wangu, naye ameisikiliza pia sauti yangu, akanipa mwana.” Ndiyo sababu alimpa jina Dani.*+

  • Mwanzo 46:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mwana* wa Dani+ alikuwa Hushimu.+

  • Hesabu 2:25, 26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Kundi la makabila matatu katika kambi ya Dani litapiga kambi upande wa kaskazini, kulingana na vikosi vyake;* mkuu wa wana wa Dani ni Ahiezeri+ mwana wa Amishadai. 26 Wale walioandikishwa katika jeshi lake ni watu 62,700.+

  • Hesabu 10:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kisha kundi la makabila matatu katika kambi ya wana wa Dani liliondoka kulingana na vikosi vyake,* nao walikuwa kikosi cha nyuma cha kulinda kambi zote, na kiongozi wa kundi hilo alikuwa Ahiezeri+ mwana wa Amishadai.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki