-
Hesabu 11:4, 5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Kisha umati wa watu waliochangamana nao*+ ukaanza kutamani chakula kwa pupa,+ basi Waisraeli wakaanza kulia tena na kusema: “Ni nani atakayetupatia nyama tule?+ 5 Tunakumbuka sana samaki wa bure tuliokuwa tukila nchini Misri, pamoja na matango, matikiti, vitunguu vya majani, vitunguu maji, na vitunguu saumu!+
-