10 Siku moja wanyama walipopata joto la kupandana, niliinua macho yangu na kuona katika ndoto kwamba mbuzi dume waliokuwa wakipanda majike walikuwa wenye mistarimistari, mabakamabaka, na madoadoa.+ 11 Kisha malaika wa Mungu wa kweli akaniita katika ndoto hiyo, ‘Yakobo!’ nikajibu, ‘Mimi hapa.’