Hesabu 13:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Walipofika kwenye Bonde la Eshkoli,+ walikata tawi lenye kishada kimoja cha zabibu, na wanaume wawili wakalibeba kwa ufito pamoja na makomamanga kadhaa na tini.+
23 Walipofika kwenye Bonde la Eshkoli,+ walikata tawi lenye kishada kimoja cha zabibu, na wanaume wawili wakalibeba kwa ufito pamoja na makomamanga kadhaa na tini.+