Hesabu 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kutoka katika kabila la Efraimu, Hoshea+ mwana wa Nuni; Hesabu 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hayo ndiyo majina ya wanaume ambao Musa aliwatuma kuipeleleza nchi. Musa alimpa Hoshea mwana wa Nuni jina Yoshua.*+
16 Hayo ndiyo majina ya wanaume ambao Musa aliwatuma kuipeleleza nchi. Musa alimpa Hoshea mwana wa Nuni jina Yoshua.*+