Mwanzo 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nami nitakupa wewe na uzao wako* baada yako nchi ambamo uliishi ukiwa mgeni+—nchi yote ya Kanaani—iwe miliki ya kudumu, nami nitakuwa Mungu wao.”+ Kutoka 29:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Nitakaa* miongoni mwa Waisraeli, nami nitakuwa Mungu wao.+ Mambo ya Walawi 25:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Mimi ni Yehova Mungu wenu, niliyewatoa nchini Misri+ ili kuwapa nchi ya Kanaani, ili nijithibitishe kuwa Mungu wenu.+
8 Nami nitakupa wewe na uzao wako* baada yako nchi ambamo uliishi ukiwa mgeni+—nchi yote ya Kanaani—iwe miliki ya kudumu, nami nitakuwa Mungu wao.”+
38 Mimi ni Yehova Mungu wenu, niliyewatoa nchini Misri+ ili kuwapa nchi ya Kanaani, ili nijithibitishe kuwa Mungu wenu.+