21 Lakini huenda mkasema hivi mioyoni mwenu: “Tutajuaje Yehova hajasema neno hilo?” 22 Nabii akisema neno katika jina la Yehova na neno hilo lisitimie au kufanyika, basi Yehova hakusema neno hilo. Nabii huyo alilisema kwa kimbelembele. Hampaswi kumwogopa.’