Hesabu 16:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Fanyeni hivi: Wewe Kora na wote wanaokuunga mkono,+ chukueni vyetezo,+ 7 kesho wekeni moto ndani yake na kutia uvumba juu yake mbele za Yehova, na mtu ambaye Yehova atamchagua,+ ndiye mtakatifu. Ninyi wana wa Lawi+ mmevuka mpaka!”
6 Fanyeni hivi: Wewe Kora na wote wanaokuunga mkono,+ chukueni vyetezo,+ 7 kesho wekeni moto ndani yake na kutia uvumba juu yake mbele za Yehova, na mtu ambaye Yehova atamchagua,+ ndiye mtakatifu. Ninyi wana wa Lawi+ mmevuka mpaka!”