Yoshua 13:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lakini Musa hakuwapa urithi watu wa kabila la Lawi.+ Yehova Mungu wa Israeli ndiye urithi wao, kama alivyowaahidi.+
33 Lakini Musa hakuwapa urithi watu wa kabila la Lawi.+ Yehova Mungu wa Israeli ndiye urithi wao, kama alivyowaahidi.+