Mambo ya Walawi 22:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mwambie Haruni na wanawe kwamba wanapaswa kuwa waangalifu kuhusu wanavyoshughulikia* vitu vitakatifu vya Waisraeli, nao wasichafue jina langu takatifu+ kuhusu vitu wanavyotakasa kwa ajili yangu.+ Mimi ni Yehova. Mambo ya Walawi 22:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo makuhani hawapaswi kuchafua vitu vitakatifu ambavyo Waisraeli wanamtolea Yehova mchango+
2 “Mwambie Haruni na wanawe kwamba wanapaswa kuwa waangalifu kuhusu wanavyoshughulikia* vitu vitakatifu vya Waisraeli, nao wasichafue jina langu takatifu+ kuhusu vitu wanavyotakasa kwa ajili yangu.+ Mimi ni Yehova.