Kutoka 12:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Sheria ileile itafuatwa na mwenyeji na mgeni anayeishi miongoni mwenu.”+ Mambo ya Walawi 24:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “‘Sheria itakuwa moja kwenu, iwe ni mgeni au mwenyeji,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.’” Hesabu 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ninyi pamoja na mgeni anayeishi miongoni mwenu mtafuata sheria zilezile. Itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyenu vyote. Ninyi pamoja na mgeni mtakuwa sawa mbele za Yehova.+
15 Ninyi pamoja na mgeni anayeishi miongoni mwenu mtafuata sheria zilezile. Itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyenu vyote. Ninyi pamoja na mgeni mtakuwa sawa mbele za Yehova.+