- 
	                        
            
            Kutoka 7:12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
12 Kila mmoja wao akatupa chini fimbo yake, nazo zikawa nyoka wakubwa; lakini fimbo ya Haruni ikazimeza fimbo zao.
 
 - 
                                        
 
- 
	                        
            
            Kutoka 7:19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
19 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Mwambie Haruni, ‘Ichukue fimbo yako na uunyooshe mkono wako juu ya maji yote ya Misri,+ juu ya mito yake, juu ya mifereji yake,* juu ya maeneo yake yenye umajimaji,+ na juu ya mabwawa yake yote, ili yawe damu.’ Kutakuwa na damu katika nchi yote ya Misri, hata katika vyombo vya mbao na vya mawe.”
 
 -