Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 36:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa hiyo Esau akahamia eneo lenye milima la Seiri.+ Esau ndiye Edomu.+

  • Kumbukumbu la Torati 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nawe uwaamuru watu hivi: “Mtapita karibu na mpaka wa ndugu zenu, wazao wa Esau,+ wanaokaa Seiri,+ nao watawaogopa ninyi,+ basi mnapaswa kuwa waangalifu sana.

  • Kumbukumbu la Torati 23:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Msimchukie Mwedomu, kwa sababu yeye ni ndugu yenu.+

      “Msimchukie Mmisri, kwa maana mlikuwa wakaaji wageni katika nchi yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki