Mwanzo 36:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo Esau akahamia eneo lenye milima la Seiri.+ Esau ndiye Edomu.+ Kumbukumbu la Torati 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nawe uwaamuru watu hivi: “Mtapita karibu na mpaka wa ndugu zenu, wazao wa Esau,+ wanaokaa Seiri,+ nao watawaogopa ninyi,+ basi mnapaswa kuwa waangalifu sana. Kumbukumbu la Torati 23:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Msimchukie Mwedomu, kwa sababu yeye ni ndugu yenu.+ “Msimchukie Mmisri, kwa maana mlikuwa wakaaji wageni katika nchi yao.+
4 Nawe uwaamuru watu hivi: “Mtapita karibu na mpaka wa ndugu zenu, wazao wa Esau,+ wanaokaa Seiri,+ nao watawaogopa ninyi,+ basi mnapaswa kuwa waangalifu sana.
7 “Msimchukie Mwedomu, kwa sababu yeye ni ndugu yenu.+ “Msimchukie Mmisri, kwa maana mlikuwa wakaaji wageni katika nchi yao.+