Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ndipo akamtoa nje na kumwambia: “Tafadhali, tazama juu mbinguni uzihesabu nyota, ikiwa unaweza kuzihesabu.” Kisha akamwambia: “Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.”*+

  • Kutoka 38:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nusu shekeli iliyotolewa na kila mwanamume ilikuwa nusu shekeli kulingana na shekeli ya kawaida ya mahali patakatifu,* ilitolewa na kila mwanamume aliyeandikishwa mwenye umri wa kuanzia miaka 20 na zaidi,+ wote walikuwa 603,550.+

  • Hesabu 1:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 watu wote walioandikishwa walikuwa 603,550.+

  • Hesabu 14:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Maiti zenu zitaanguka katika nyika hii,+ naam, ninyi nyote mlioninung’unikia, kila mtu aliyeandikishwa mwenye umri wa kuanzia miaka 20 na zaidi.+

  • Hesabu 26:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Wanaume wote Waisraeli walioandikishwa walikuwa 601,730.+

  • Hesabu 26:64
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 64 Lakini hakuna hata mmoja wao aliyeandikishwa na Musa na kuhani Haruni wakati walipowahesabu Waisraeli katika nyika ya Sinai.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki