21 Kwa hiyo Yehova Mungu wa Israeli akamtia Sihoni na watu wake wote mikononi mwao, Waisraeli wakawashinda na kumiliki nchi yote ya Waamori, wakaaji wa nchi hiyo.+ 22 Basi wakamiliki eneo lote la Waamori kutoka Arnoni mpaka Yaboki na kuanzia nyikani mpaka Yordani.+