Hesabu 24:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 ‘Hata Balaki akinipa nyumba yake mwenyewe iliyojaa fedha na dhahabu, siwezi kwa hiari yangu* kukiuka jambo lolote ambalo Yehova ameniagiza nifanye, liwe jambo zuri au baya. Nitasema tu jambo ambalo Yehova ataniambia’?+
13 ‘Hata Balaki akinipa nyumba yake mwenyewe iliyojaa fedha na dhahabu, siwezi kwa hiari yangu* kukiuka jambo lolote ambalo Yehova ameniagiza nifanye, liwe jambo zuri au baya. Nitasema tu jambo ambalo Yehova ataniambia’?+