-
Hesabu 22:35Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
35 Lakini malaika wa Yehova akamwambia Balaamu: “Nenda pamoja na wanaume hao, lakini utasema tu maneno nitakayokwambia.” Basi Balaamu akaendelea na safari pamoja na wakuu wa Balaki.
-