Kutoka 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sasa Yehova alikuwa akiwatangulia mchana katika nguzo ya wingu ili awaongoze njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili awape nuru, waweze kusafiri mchana na usiku.+ Kutoka 23:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Ninamtuma malaika awatangulie+ ili awalinde safarini na kuwapeleka mahali nilipotayarisha.+ Kutoka 29:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Nitakaa* miongoni mwa Waisraeli, nami nitakuwa Mungu wao.+ Isaya 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Fanyeni mpango, lakini utavunjwa! Semeni mnachotaka, lakini hakitafanikiwa,Kwa maana Mungu yuko pamoja nasi!*+
21 Sasa Yehova alikuwa akiwatangulia mchana katika nguzo ya wingu ili awaongoze njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili awape nuru, waweze kusafiri mchana na usiku.+
10 Fanyeni mpango, lakini utavunjwa! Semeni mnachotaka, lakini hakitafanikiwa,Kwa maana Mungu yuko pamoja nasi!*+