Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Sasa Yehova alikuwa akiwatangulia mchana katika nguzo ya wingu ili awaongoze njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili awape nuru, waweze kusafiri mchana na usiku.+

  • Kutoka 23:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Ninamtuma malaika awatangulie+ ili awalinde safarini na kuwapeleka mahali nilipotayarisha.+

  • Kutoka 29:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Nitakaa* miongoni mwa Waisraeli, nami nitakuwa Mungu wao.+

  • Isaya 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Fanyeni mpango, lakini utavunjwa!

      Semeni mnachotaka, lakini hakitafanikiwa,

      Kwa maana Mungu yuko pamoja nasi!*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki