52 “Kila Mwisraeli anapaswa kupiga hema lake katika kambi aliyogawiwa, kila mwanamume kulingana na kundi lake la makabila matatu,*+ kulingana na kikosi chake.*
2 “Waisraeli wanapaswa kupiga kambi mahali ambapo kundi lao la makabila matatu+ limegawiwa, kila mtu karibu na alama ya ukoo wake.* Wanapaswa kupiga kambi kuelekeana na hema la mkutano, kuzunguka pande zake zote.