Mwanzo 38:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kisha ndugu yake aliyefungwa uzi mwekundu mkononi akatoka, akapewa jina Zera.+ 1 Mambo ya Nyakati 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tamari,+ binti mkwe wa Yuda, alimzalia Yuda wana walioitwa Perezi+ na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.
4 Tamari,+ binti mkwe wa Yuda, alimzalia Yuda wana walioitwa Perezi+ na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.