Kutoka 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Unapaswa kumwambia Farao, ‘Hivi ndivyo Yehova anavyosema: “Israeli ni mwanangu, mzaliwa wangu wa kwanza.+ Kumbukumbu la Torati 32:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mlimsahau Mwamba,+ baba yenu aliyewazaa,Nanyi hamkumkumbuka Mungu aliyewazaa.+ Isaya 63:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana wewe ni Baba yetu;+Ingawa huenda Abrahamu asitujueNa huenda Israeli asitutambue,Wewe, Ee Yehova, ni Baba yetu. Mkombozi wetu wa zamani za kale ndilo jina lako.+
22 Unapaswa kumwambia Farao, ‘Hivi ndivyo Yehova anavyosema: “Israeli ni mwanangu, mzaliwa wangu wa kwanza.+
16 Kwa maana wewe ni Baba yetu;+Ingawa huenda Abrahamu asitujueNa huenda Israeli asitutambue,Wewe, Ee Yehova, ni Baba yetu. Mkombozi wetu wa zamani za kale ndilo jina lako.+