Kumbukumbu la Torati 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini Yehova aliwakaribia na kudhihirisha upendo wake kwa mababu zenu tu, naye amewachagua ninyi, wazao wao,+ kutoka kati ya mataifa yote, kama mlivyo leo. Zaburi 105:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Enyi uzao wa* Abrahamu mtumishi wake,+Enyi wana wa Yakobo, watu wake aliowachagua.+
15 Lakini Yehova aliwakaribia na kudhihirisha upendo wake kwa mababu zenu tu, naye amewachagua ninyi, wazao wao,+ kutoka kati ya mataifa yote, kama mlivyo leo.