Kutoka 18:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Baba mkwe wa Musa akamwambia: “Jambo unalofanya si zuri. 18 Kwa hakika utachoka, wewe na watu hawa walio pamoja nawe, kwa sababu mzigo huu ni mkubwa sana kwako na huwezi kuubeba peke yako. Hesabu 11:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha Musa akamwambia Yehova: “Kwa nini unanitesa mimi mtumishi wako? Kwa nini hupendezwi nami, hivi kwamba umenitwika mzigo wa watu wote hawa?+ Hesabu 20:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Watu wakagombana na Musa+ wakisema: “Laiti tungekufa ndugu zetu walipokufa mbele za Yehova!
17 Baba mkwe wa Musa akamwambia: “Jambo unalofanya si zuri. 18 Kwa hakika utachoka, wewe na watu hawa walio pamoja nawe, kwa sababu mzigo huu ni mkubwa sana kwako na huwezi kuubeba peke yako.
11 Kisha Musa akamwambia Yehova: “Kwa nini unanitesa mimi mtumishi wako? Kwa nini hupendezwi nami, hivi kwamba umenitwika mzigo wa watu wote hawa?+