33 na kumpenda Mungu kwa moyo wote na kwa uelewaji wote na kwa nguvu zote na pia mtu kumpenda jirani yake kama anavyojipenda mwenyewe ni bora kuliko matoleo yote mazima ya kuteketezwa na dhabihu.”+
27 Akajibu: “‘Lazima umpende Yehova* Mungu wako kwa moyo wako wote kwa nafsi* yako yote kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote’+ na ‘umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’”+