25 Siku ya leo nitaanza kuwafanya watu wote duniani* wanaosikia habari zenu wawahofu na kuwaogopa ninyi. Watakuwa na wasiwasi na kutetemeka* kwa sababu yenu.’+
12 Basi nikawafanya wavunjike moyo* kabla ya ninyi kufika, nao wakakimbia+—wafalme wawili wa Waamori. Hamkuwashinda kwa sababu ya upanga wenu wala upinde wenu.+