27 “Nitafanya watu waniogope hata kabla hamjafika,+ nami nitawavuruga watu wote mtakaokutana nao, nami nitawafanya maadui wenu wote washindwe na kukimbia.*+
8 Angalieni, nimeweka nchi hii mbele yenu. Ingieni mwimiliki nchi ambayo mimi Yehova niliapa kwamba nitawapa baba zenu, Abrahamu, Isaka,+ na Yakobo,+ wao pamoja na uzao wao* baada yao.’+