-
Danieli 9:11, 12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Waisraeli wote wamekiuka Sheria yako na kukuacha kwa kutotii sauti yako, hivi kwamba ukatumwagia laana na kiapo kilichoandikwa katika Sheria ya Musa mtumishi wa Mungu wa kweli,+ kwa maana tumekutendea Wewe dhambi. 12 Umetimiza maneno uliyosema dhidi yetu+ na dhidi ya watawala wetu waliotutawala,* kwa kutuletea msiba mkubwa; hakuna jambo lililowahi kufanywa chini ya mbingu zote kama jambo lililofanywa Yerusalemu.+
-