Kutoka 32:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo Musa akamsihi* Yehova Mungu wake+ akisema: “Ee Yehova, kwa nini uwaelekezee watu wako hasira yako inayowaka, baada ya kuwatoa katika nchi ya Misri kwa nguvu kuu na kwa mkono wenye nguvu?+ Kutoka 32:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi Yehova akaanza kufikiria upya* msiba ambao alikuwa amesema atawaletea watu wake.+ Zaburi 106:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Alikuwa karibu kuamuru waangamizwe,Lakini Musa, mchaguliwa wake, akaingilia kati*Ili kuzuia hasira yake inayoangamiza.+
11 Ndipo Musa akamsihi* Yehova Mungu wake+ akisema: “Ee Yehova, kwa nini uwaelekezee watu wako hasira yako inayowaka, baada ya kuwatoa katika nchi ya Misri kwa nguvu kuu na kwa mkono wenye nguvu?+
23 Alikuwa karibu kuamuru waangamizwe,Lakini Musa, mchaguliwa wake, akaingilia kati*Ili kuzuia hasira yake inayoangamiza.+