Kutoka 32:31, 32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa hiyo Musa akarudi kwa Yehova na kumwambia: “Watu hawa wametenda dhambi kubwa sana! Walijitengenezea mungu wa dhahabu!+ 32 Lakini sasa ukipenda, wasamehe dhambi yao;+ la sivyo, tafadhali nifute katika kitabu chako ulichoandika.”+
31 Kwa hiyo Musa akarudi kwa Yehova na kumwambia: “Watu hawa wametenda dhambi kubwa sana! Walijitengenezea mungu wa dhahabu!+ 32 Lakini sasa ukipenda, wasamehe dhambi yao;+ la sivyo, tafadhali nifute katika kitabu chako ulichoandika.”+