Yoshua 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nusu iliyobaki ya kabila la Manase, pamoja na watu wa kabila la Rubeni na Gadi walichukua urithi wao waliopewa na Musa upande wa mashariki wa Yordani, kama tu Musa mtumishi wa Yehova alivyowapa:+ Yoshua 13:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 ufalme wote wa Ogu kule Bashani, aliyetawala Ashtarothi na Edrei. (Alikuwa kati ya Warefaimu waliobaki.)+ Musa aliwashinda na kuwafukuza.*+
8 Nusu iliyobaki ya kabila la Manase, pamoja na watu wa kabila la Rubeni na Gadi walichukua urithi wao waliopewa na Musa upande wa mashariki wa Yordani, kama tu Musa mtumishi wa Yehova alivyowapa:+
12 ufalme wote wa Ogu kule Bashani, aliyetawala Ashtarothi na Edrei. (Alikuwa kati ya Warefaimu waliobaki.)+ Musa aliwashinda na kuwafukuza.*+