Kumbukumbu la Torati 4:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Ni lazima mshike masharti yake na amri zake ninazowapa ninyi leo, ili mambo yawaendee vyema ninyi na wana wenu baada yenu, ili mwendelee kuishi kwa muda mrefu katika nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa.”+ Methali 3:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwanangu, usisahau mafundisho* yangu,Na moyo wako ushike amri zangu, 2 Kwa sababu zitakuongezea siku nyingiNa miaka ya uhai na amani.+
40 Ni lazima mshike masharti yake na amri zake ninazowapa ninyi leo, ili mambo yawaendee vyema ninyi na wana wenu baada yenu, ili mwendelee kuishi kwa muda mrefu katika nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa.”+
3 Mwanangu, usisahau mafundisho* yangu,Na moyo wako ushike amri zangu, 2 Kwa sababu zitakuongezea siku nyingiNa miaka ya uhai na amani.+