16 Mtayaangamiza* mataifa yote ambayo Yehova Mungu wenu atayatia mikononi mwenu.+ Msiwahurumie*+ kamwe, nanyi msiabudu kamwe miungu yao,+ kwa sababu jambo hilo litakuwa mtego kwenu.+
28 Niliwaleta katika nchi niliyoapa kwamba ningewapatia.+ Walipoona vilima vyote virefu na miti yenye majani mengi,+ walianza kutoa dhabihu zao na matoleo yao yanayochukiza. Walitoa harufu inayopendeza* ya dhabihu zao na kumwaga matoleo yao ya vinywaji hapo.