Kutoka 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Mtu yeyote anayetoa dhabihu kwa miungu mingine isipokuwa kwa Yehova peke yake lazima auawe.+ Kutoka 32:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Basi Musa akawaambia: “Yehova Mungu wa Israeli amesema, ‘Kila mmoja wenu na ajifunge upanga wake na kupita kotekote kambini, kutoka lango mpaka lango, amuue ndugu yake, jirani yake, na rafiki yake wa karibu.’”+ Hesabu 25:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kisha Musa akawaambia hivi waamuzi wa Israeli:+ “Kila mmoja wenu awaue watu wake walioshiriki katika kumwabudu* Baali wa Peori.”+
27 Basi Musa akawaambia: “Yehova Mungu wa Israeli amesema, ‘Kila mmoja wenu na ajifunge upanga wake na kupita kotekote kambini, kutoka lango mpaka lango, amuue ndugu yake, jirani yake, na rafiki yake wa karibu.’”+
5 Kisha Musa akawaambia hivi waamuzi wa Israeli:+ “Kila mmoja wenu awaue watu wake walioshiriki katika kumwabudu* Baali wa Peori.”+