Kumbukumbu la Torati 26:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Baada ya kutoa sehemu yote ya kumi+ ya mazao yako katika mwaka wa tatu, mwaka wa sehemu ya kumi, utampa sehemu hiyo Mlawi, mkaaji mgeni, yatima, na mjane, nao watakula na kushiba katika majiji*+ yenu.
12 “Baada ya kutoa sehemu yote ya kumi+ ya mazao yako katika mwaka wa tatu, mwaka wa sehemu ya kumi, utampa sehemu hiyo Mlawi, mkaaji mgeni, yatima, na mjane, nao watakula na kushiba katika majiji*+ yenu.