Kutoka 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ndipo Musa akawaambia watu: “Kumbukeni siku hii mliyotoka Misri,+ kutoka katika nyumba ya utumwa, kwa sababu kwa mkono wenye nguvu Yehova aliwatoa katika nchi hii.+ Kwa hiyo hampaswi kula kitu chochote kilichotiwa chachu. Mambo ya Walawi 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “‘Siku ya 15 ya mwezi huo ni Sherehe ya Yehova ya Mikate Isiyo na Chachu.+ Kwa siku saba mnapaswa kula mikate isiyo na chachu.+ Hesabu 28:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na siku ya 15 ya mwezi huo, kutakuwa na sherehe. Mikate isiyo na chachu italiwa kwa siku saba.+ 1 Wakorintho 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi na tufanye sherehe,+ si kwa chachu ya zamani, wala kwa chachu ya ubaya na uovu, bali kwa mikate isiyo na chachu ya unyoofu na kweli.
3 Ndipo Musa akawaambia watu: “Kumbukeni siku hii mliyotoka Misri,+ kutoka katika nyumba ya utumwa, kwa sababu kwa mkono wenye nguvu Yehova aliwatoa katika nchi hii.+ Kwa hiyo hampaswi kula kitu chochote kilichotiwa chachu.
6 “‘Siku ya 15 ya mwezi huo ni Sherehe ya Yehova ya Mikate Isiyo na Chachu.+ Kwa siku saba mnapaswa kula mikate isiyo na chachu.+
8 Basi na tufanye sherehe,+ si kwa chachu ya zamani, wala kwa chachu ya ubaya na uovu, bali kwa mikate isiyo na chachu ya unyoofu na kweli.