Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Siku hiyo itakuwa ukumbusho kwenu, nanyi mnapaswa kuisherehekea ikiwa sherehe kwa Yehova katika vizazi vyenu vyote. Kwa kuwa ni sheria ya kudumu, mnapaswa kuisherehekea.

  • Kutoka 13:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na siku hiyo unapaswa kumwambia mwanao, ‘Ni kwa sababu ya mambo ambayo Yehova alinitendea nilipotoka Misri.’+ 9 Nayo itakuwa ishara mkononi mwako na ukumbusho kwenye paji la uso wako,*+ ili sheria ya Yehova iwe kinywani mwako, kwa sababu kwa mkono wenye nguvu Yehova alikutoa Misri.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki