22 “Ikiwa mtaishika kabisa amri hii ninayowapa na kuitekeleza, mkimpenda Yehova Mungu wenu,+ mkitembea katika njia zake zote na kushikamana naye,+ 23 Yehova atayafukuza mataifa haya yote kutoka mbele yenu,+ nanyi mtamiliki nchi ya mataifa makubwa zaidi na yenye watu wengi kuliko ninyi.+