Hesabu 20:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Waisraeli wote walipoona kwamba Haruni amekufa, nyumba yote ya Israeli ikamwombolezea Haruni kwa siku 30.+ Kumbukumbu la Torati 34:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Waisraeli walimlilia Musa katika jangwa tambarare la Moabu kwa siku 30.+ Kisha siku za kumlilia na kumwombolezea Musa zikaisha.
29 Waisraeli wote walipoona kwamba Haruni amekufa, nyumba yote ya Israeli ikamwombolezea Haruni kwa siku 30.+
8 Waisraeli walimlilia Musa katika jangwa tambarare la Moabu kwa siku 30.+ Kisha siku za kumlilia na kumwombolezea Musa zikaisha.