Mambo ya Walawi 19:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “‘Mnapaswa kushika sheria zangu: Usiwaache wanyama wako wa kufugwa wazaane na wanyama wengine wa aina tofauti. Usipande mbegu za aina mbili+ katika shamba lako, na usivae vazi lililoshonwa kwa nyuzi za aina mbili.+
19 “‘Mnapaswa kushika sheria zangu: Usiwaache wanyama wako wa kufugwa wazaane na wanyama wengine wa aina tofauti. Usipande mbegu za aina mbili+ katika shamba lako, na usivae vazi lililoshonwa kwa nyuzi za aina mbili.+