20 Ikiwa mtu anayemchukia mwenzake anamsukuma au kumtupia kitu fulani kwa nia mbaya* na kumuua,+21 au kwa sababu ya chuki anampiga kwa mkono na kumuua, ni lazima mtu huyo aliyempiga auawe. Yeye ni muuaji. Mtu anayelipiza kisasi cha damu atamuua muuaji huyo atakapokutana naye.