Yona 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini mimi, kwa sauti ya shukrani nitakutolea dhabihu. Nadhiri nilizoweka, nitazitimiza.+ Wokovu unatoka kwa Yehova.”+
9 Lakini mimi, kwa sauti ya shukrani nitakutolea dhabihu. Nadhiri nilizoweka, nitazitimiza.+ Wokovu unatoka kwa Yehova.”+