7 Lakini Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alimchukiza Yehova; kwa hiyo Yehova akamuua. 8 Kwa hiyo, Yuda akamwambia Onani: “Lala na mke wa ndugu yako na ufunge naye ndoa ya ndugu mkwe, umpe ndugu yako mzao.”+
5 Kisha Boazi akamwambia: “Siku utakapolinunua shamba hilo kutoka kwa Naomi, unapaswa kulinunua pia kutoka kwa Ruthu Mmoabu, mke wa mwanamume aliyekufa, ili kurudisha jina la mume wake aliyekufa katika urithi huo.”+
19 “Mwalimu, Musa alituandikia kwamba mtu akifa na kuacha mke lakini hakuacha mtoto, ndugu yake anapaswa kumchukua mke huyo ili kumwinulia ndugu yake uzao.+