Methali 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mizani ya uwongo* humchukiza Yehova,Lakini kipimo sahihi* humfurahisha.+ Methali 20:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Vipimo vya udanganyifu na mizani za uwongo*—Vyote viwili humchukiza Yehova.+ Mika 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Je, ninaweza kuwa safi kimaadili* nikiwa na mizani ya uovu,Nikiwa na mfuko wenye mawe ya kupimia ya udanganyifu?+
11 Je, ninaweza kuwa safi kimaadili* nikiwa na mizani ya uovu,Nikiwa na mfuko wenye mawe ya kupimia ya udanganyifu?+