Kutoka 20:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Usiue.+ Kutoka 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Yeyote anayempiga mtu na kumuua lazima auawe.+ Hesabu 35:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Hampaswi kuchukua fidia yoyote kwa ajili ya uhai wa* muuaji anayestahili kufa, kwa maana ni lazima auawe.+
31 Hampaswi kuchukua fidia yoyote kwa ajili ya uhai wa* muuaji anayestahili kufa, kwa maana ni lazima auawe.+